SOMO LA MOYO NA MOYO KUSHIDWA KUSUKUMA DAMU

MOYO KUSHIDWA KUSUKUMA DAMU: Sababu, Dalili, na Matibabu


Maana ya Heart Failure


Heart Failure ni hali ambapo moyo unashindwa kusukuma damu kwa ufanisi wa kutosha ili kukidhi mahitaji ya mwili. Inaweza kuwa ya kushindwa kwa upande wa kushoto, kulia, au pande zote mbili za moyo.


Sababu za Heart Failure


Shinikizo la damu la muda mrefu (Hypertension)


Magonjwa ya mishipa ya moyo (Coronary Artery Disease)


Mshtuko wa moyo (Heart Attack)


Matatizo ya valvu za moyo


Unene kupita kiasi



Dalili za Heart Failure


Kupumua kwa shida (hasa unapo lala)


Uchovu wa mara kwa mara


Kuvimba miguu na tumbo


Moyo kwenda mbio (palpitations)


Kukohoa na kutoa makohozi meupe



Njia za Matibabu na Udhibiti


Kudhibiti shinikizo la damu


Kufanya mazoezi ya mwili mara kwa mara


Kutumia dawa kama diuretics, beta-blockers, na ACE inhibitors


Kuepuka chumvi nyingi kwenye chakula


Kwa visa vya hatari, upasuaji kama heart transplant unaweza kuhitajika


Comments

  1. hellow keep going harafu jitaid kuongeza hzo content juu hapo

    ReplyDelete

Post a Comment