Njoo tujifunzee kuhusu Malaria

 

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vya Plasmodium vinavyoenezwa na mbu aina ya Anopheles.





Dalili za Malaria


Homa kali inayokuja na kupungua kwa vipindi


Kutetemeka na jasho jingi


Maumivu ya kichwa na mwili


Uchovu na udhaifu



Njia za Kuambukizwa


Kuumwa na mbu aliyeambukizwa vimelea vya malaria


Kutumia damu au sindano iliyoambukizwa



Matibabu na Kinga


Kutumia dawa za malaria kama Artemisinin-based Combination Therapy (ACT)


Kulala ndani ya chandarua chenye dawa


Kupulizia dawa ya kuua mbu





---

Comments